Ya Quotes

Enjoy the best quotes on Ya , Explore, save & share top quotes on Ya .

Vita ya Shetani na Mungu inatuathiri zaidi sisi wanadamu – na hapo baadaye itamuathiri Shetani pia. Vita hii haiwezi kuisha hadi siku ya mwisho, Yesu Kristo atakaporudi kuwachukua wateule wake. Pambana kwa njia ya maombi hadi siku ya mwisho kwa sababu adui tunayepambana naye hana muda wa kupumzika. Pambana kujiombea na kuwaombea wengine waliohai, na hata wale ambao bado hawajazaliwa, kabla mafuta ya dunia hii hayajalipuka. Usiishi kama adui wa msalaba wa Yesu Kristo, badala yake, ishi kama rafiki wa msalaba wa Yesu Kristo. Kuishi kama rafiki wa msalaba wa Yesu Kristo ni kupinga majivuno yote ya Shetani kwa upendo uliotukuka wa kujishusha au kujidharirisha, kutokutetereka hata kidogo na tamaa za ulimwengu huu kwa upendo mkubwa wa umaskini, na kutokuyumba wakati wa matatizo kwa sababu wakati wa amani ulijilimbikizia imani.

Enock Maregesi
Save QuoteView Quote

Vita ya Shetani na Mungu inatuathiri zaidi sisi wanadamu – na hapo baadaye itamuathiri Shetani pia. Vita hii haiwezi kuisha hadi siku ya mwisho, Yesu Kristo atakaporudi kuwachukua wateule wake. Pambana kwa njia ya maombi hadi siku ya mwisho kwa sababu adui tunayepambana naye hana muda wa kupumzika. Pambana kujiombea na kuwaombea wengine waliohai, na hata wale ambao bado hawajazaliwa, kabla mafuta ya dunia hii hayajalipuka. Usiishi kama adui wa msalaba wa Yesu Kristo, badala yake, ishi kama rafiki wa msalaba wa Yesu Kristo. Kuishi kama rafiki wa msalaba wa Yesu Kristo ni kupinga majivuno yote ya Shetani kwa upendo uliotukuka wa kujishusha au kujidharirisha, kutokutetereka hata kidogo na tamaa za ulimwengu huu kwa upendo mkubwa wa umaskini, na kutokuyumba wakati wa matatizo kwa sababu wakati wa amani ulijilimbikizia imani.

Enock Maregesi
Save QuoteView Quote

Amri ya Kristo ilipima imani ya yule kipofu, ikiithibitisha na kuiimarisha. Bila kuchelewa au kusita, kipofu alitii amri ya Mungu: Alikwenda kuosha macho yake katika bwawa la Siloamu na aliona. Wengi wanaweza kuona ni kazi ya kipuuzi kwa mtu ambaye ni kipofu kufanya kazi ndogo kama hiyo ili aone. Lakini kwa vile alitii, kipofu alipona. Baraka huja kupitia utii. Kwa maana nyingine, kipofu alimtii Yesu bila kuona. Lakini matokeo yake, alipata kuona papohapo; ambapo baadaye, hatimaye, alipokea uponyaji halisi wa kiroho.

Enock Maregesi
Save QuoteView Quote

I let ya in—into my life...my death...my heart." He reached up like he was going to touch my face. "And now I don't know how to get ya out.

Janae Mitchell, For Always
Save QuoteView Quote

Mungu hatakubali kuwa na mtu katika ufalme wake ambaye hatakubali kutawaliwa naye. Usikubali kutawaliwa na Ibilisi, kubali kutawaliwa na Mungu. Ni jukumu letu kuanza kuishi sasa kama vile tutakavyoishi mbinguni. Shetani anataka uwe na hekima ya duniani ili akupumbaze. Lakini hofu ya Mungu ndiyo msingi wa hekima ya kweli. Ukitaka asikupumbaze, pokea Roho ya Mungu kwa kubatizwa. Ukiipokea Roho ya Mungu utajua mambo ya Mungu, ambayo dunia haiwezi kujua.

Enock Maregesi
Save QuoteView Quote

And against whom is this censorship directed? By way of answer, think back to the big subcultural debates of 2011 – debates about how gritty fantasy isn’t really fantasy; how epic fantasy written from the female gaze isn’t really fantasy; how women should stop complaining about sexism in comics because clearly, they just hate comics; how trying to incorporate non-Eurocentric settings into fantasy is just political correctness gone wrong and a betrayal of the genre’s origins; how anyone who finds the portrayal of women and relationships in YA novels problematic really just wants to hate on the choices of female authors and readers; how aspiring authors and bloggers shouldn’t post negative reviews online, because it could hurt their careers; how there’s no homophobia in publishing houses, so the lack of gay YA protagonists can only be because the manuscripts that feature them are bad; how there’s nothing problematic about lots of pretty dead girls on YA covers; how there’s nothing wrong with SF getting called ‘dystopia’ when it’s marketed to teenage girls, because girls don’t read SF. Most these issues relate to fear of change in the genre, and to deeper social problems like sexism and racism; but they are also about criticism, and the freedom of readers, bloggers and authors alike to critique SFF and YA novels without a backlash that declares them heretical for doing so.It’s not enough any more to tiptoe around the issues that matter, refusing to name the works we think are problematic for fear of being ostracized. We need to get over this crushing obsession with niceness – that all fans must act nicely, that all authors must be nice to each other, that everyone must be nice about everything even when it goes against our principles – because it’s not helping us grow, or be taken seriously, or do anything other than throw a series of floral bedspreads over each new room-hogging elephant.We, all of us, need to get critical.Blog post: Criticism in SFF and YA

Foz Meadows
Save QuoteView Quote

In the past few years, more and more passionate debates about the nature of SFF and YA have bubbled to the surface. Conversations about race, imperialism, gender, sexuality, romance, bias, originality, feminism and cultural appropriation are getting louder and louder and, consequently, harder to ignore. Similarly, this current tension about negative reviews is just another fissure in the same bedrock: the consequence of built-up pressure beneath. Literary authors feud with each other, and famously; yet genre authors do not, because we fear being cast as turncoats. For decades, literary writers have also worked publicly as literary reviewers; yet SFF and YA authors fear to do the same, lest it be seen as backstabbing when they dislike a book. (Small wonder, then, that so few SFF and YA titles are reviewed by mainstream journals.) Just as a culture of sexual repression leads to feelings of guilt and outbursts of sexual moralising by those most afflicted, so have we, by denying and decrying all criticism that doesn’t suit our purposes, turned those selfsame critical impulses towards censorship.Blog post: Criticism in SFF and YA

Foz Meadows
Save QuoteView Quote

Mfalme Sulemani alikuwa mtu mwenye hekima kuliko wote ulimwenguni. Anatushauri, “Adui yako akiwa ana njaa, mpe chakula; Tena akiwa ana kiu, mpe maji ya kunywa; Maana utatia makaa ya moto kichwani pake; Na BWANA atakupa thawabu (Mithali 25:21-22). Yesu anasema jambo fulani linalofanana sana na hilo katika mafundisho Yake yaliyofuata (Mathayo 5:44-45). Kitendo cha kutukanwa, kupigwa, kushtakiwa au kulazimishwa kubeba mzigo mzito usio wa kwako kinaweza kusababisha mafutu mabaya kabisa katika asili ya binadamu. Yaani, chuki, hasira, ukatili na hata vurugu. Lakini pale wale waliobarikiwa kuwa na hekima wanapojikuta katika majaribu makubwa kama hayo tabia yao haitakiwi kuwa ya shari, inda au ya kulipiza kisasi. Bali inatakiwa kuwa ya kusaidia, kuwa na ridhaa ya kutenda mambo mema, na kuwa mwema kwa wengine siku zote.

Enock Maregesi
Save QuoteView Quote

Katika dunia ya leo ambapo mamilioni ya watu hutegemea utandawazi kupata pesa, kuwa na imani kwamba kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemjua au mtu mwenye nia mbaya na wewe ni kikwazo kikubwa cha maendeleo kwa sababu, karibu kila mtu unayekutana naye ni Shetani. Shetani ni mtu yoyote mwenye nia mbaya na wewe. Hivyo, kama uliwahi kuambiwa kwamba kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemjua ni kitu kibaya futa imani hiyo. Utaachaje kupokea pesa kutoka kwa mtu usiyemjua wakati kila siku unamwomba Mungu akusaidie, na Mungu hutenda kazi zake pale tunapojisahau? La sivyo hutapata pesa unayotamani kupata katika maisha yako, na kamwe hutawaamini watu. Zaka huondoa laana ya mapato. Toa zaka kununua pepo uliyopewa na Mungu.

Enock Maregesi
Save QuoteView Quote

You can't jugde me for god sake, I know you better than anyone for god sake. You believe in time don't ya??...You believe in bible?? Don't ya???You believe in soul?? Don't ya???...Of Is there a purpose of the purple of the round of going more further than this?, we are still on the top and look what I found!

Deyth Banger
Save QuoteView Quote

Kumwamini Mwenyezi Mungu wakati wa raha ni rahisi kuliko kumwamini Mwenyezi Mungu wakati wa shida, na utahitaji imani kuendelea kumwamini wakati wa dhiki. Vipindi vigumu katika maisha yetu hutokea kwa kila mmoja wetu. Kuamini ya kwamba Mungu ana makusudi ya lazima kukuondolea vikwazo katika maisha yako ni vigumu sana wakati mwingine, lakini imani ndicho kitu cha muhimu zaidi unachotakiwa kuwa nacho katika kipindi hiki ambacho dunia imekata tamaa. Amani ya Mungu, ambayo huzidi hekima na maarifa yote ya kibinadamu, ni kuliamini neno la Mungu kwamba ni la kweli. Bila imani hutaweza kumfurahisha Mungu. Imani ni ufunguo wa nguvu, uwezo na neema ambavyo Mungu ametupangia. Kwa ufupi, Mungu ni mkubwa kuliko wewe na matatizo yako.

Enock Maregesi
Save QuoteView Quote